Back to home
Serikali ya kaunti ya Migori yazindua mpango wa mbegu kwa wakulima 5,000
video
C
Citizen TV (Youtube)August 27, 2026
2h ago
Serikali ya kaunti ya Migori imezindua mpango wa usambazaji wa mbegu unaolenga wakulima 5,000 kote kaunti hiyo kama sehemu ya juhudi za kuwalinda kutokana na athari za mabadiliko ya tabia nchi.
Advertisement
Advertisement





