Back to home
Wakulima wa miwa kaunti ya Homa Bay wasihutumu serikali kwa kukosa kudhibiti sukari ya magendo
video
C
Citizen TV (Youtube)July 30, 2026
2h ago
Wakulima wa miwa kutoka ukanda wa magharibi wasihutumu serikali kwa kukosa kudhibiti sukari ya magendo wanayosema imeathiri uuzaji wa miwa. Katika kaunti ya Homa Bay miwa yaharibikia shambani kutokana na ukosefu wa soko huku wakulima kutoka kaunti ya Busia wakitishia kung'oa mmea
Advertisement
Advertisement





