Back to home
EBC yakanusha madai Miru Systems imepewa zabuni ya teknolojia ya uchaguzi wa 2027
video
C
Citizen TV (Youtube)August 27, 2026
2h ago
Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imekanusha madai ya kinara wa DCP Rigathi Gachagua kwamba kampuni ya Korea Kusini ya Miru Systems imepewa kandarasi ya kusambaza teknolojia ya uchaguzi mkuu wa mwaka ujao katika njama ya wizi wa kura. Kupitia taarifa kwa vyombo vya habari, mwenye
Advertisement
Advertisement





