Back to home
Familia ya Kisumu yaitaka serikali kutatua mgomo wa wahudumu wa afya
video
C
Citizen TV (Youtube)August 28, 2026
1h ago
Familia moja kutoka Kisumu sasa inaitaka serikali kutatua mgomo wa wahudumu wa afya, baada ya kumpoteza jamaa yao hospitalini. Lavender Otieno, mwenye umri wa miaka 28 alifariki alipokwenda kujifungua na kukosa huduma hospitalini. Haya yanajiri huku serikali ya kaunti ya Kericho
Advertisement
Advertisement





