Back to home
Ruto awataja wapinzani kama vibaraka wanaofadhiliwa na Uhuru
video
C
Citizen TV (Youtube)August 29, 2026
1h ago
Rais William Ruto sasa amewataja wapinzani wake kama vibaraka wanaolipwa na kufadhiliwa na mdhamini wao, Rais mstaafu Uhuru Kenyatta. Rais amesema wapinzani hao wanafadhiliwa kwa lengo la kuipinga serikali na kuhujumu utendakazi wake.
Aidha, Rais Ruto ameendelea kutetea makato y
Advertisement
Advertisement





