Back to home

Bandari ya Mombasa yakabiliwa na msongamano wa makontena kutokana na ongezeko la ushuru

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 29, 2026
1h ago
Bandari ya Mombasa sasa inakabiliwa na hatari ya msongamano mkubwa wa makontena huku taarifa zikieleza kuwa wafanyabiashara wamesita kuondoa mizigo iliyowasili kutoka ng’ambo, hasa Uchina, kutokana na ongezeko la ushuru. Ushuru huo, ulioanza kutekelezwa Agosti 21, umeongeza gh
Advertisement