Back to home
Viongozi wa serikali washambulia upinzani kwa kulalamikia IEBC
video
C
Citizen TV (Youtube)August 29, 2026
2h ago
Viongozi wanaounga mkono serikali wamewataka wenzao wa upinzani kuwacha lalama za mara kwa mara kuhusu utendakazi wa tume ya uchaguzi nchini IEBC, na badala yake kujiandaa kwa makabiliano makali debeni. Wakizungumza katika kaunti za Transnzoia na Narok, Viongozi hao pia wamedai w
Advertisement
Advertisement





