Back to home
Sakaja awashtumu wanasiasa wanaochochea ukabila na kutumia wahuni kuvuruga mikutano
video
C
Citizen TV (Youtube)August 31, 2026
1h ago
Gavana wa kaunti ya Nairobi Johnson Sakaja amewashtumu wanasiasa wanaoeneza siasa ya ukabila na kuwatumia wahuni kuvuruga mikutano ya siasa.
Advertisement
Advertisement





