Back to home

Wakuu wa vyuo vikuu waitaka serikali kutoa fedha za ufadhili kwa wanafunzi

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 31, 2026
2h ago
Wakuu wa vyuo vikuu wameitaka serikali kuu kupitia wizara ya elimu kuhakikisha mfumo wa ufadhili kwa wanafunzi wa vyuo vikuu unatolewa ili masomo ya wanafunzi hasa wa mwaka wa kwanza yasitatizike.
Advertisement