Back to home
Maraga ataja ufisadi katika ajira za polisi
video
C
Citizen TV (Youtube)August 31, 2026
2h ago
Jaji Mkuu mstaafu David Maraga ameibua tuhuma nzito za ufisadi katika Idara ya Polisi, akidai kuwa ajira zinatolewa kwa kujuana au kwa wanasiasa kujitafutia ushawishi miongoni mwa wananchi. Maraga amezungumza alipozindua rasmi ripoti ya mapendekezo ya Jopokazi kuhusu mageuzi ya p
Advertisement
Advertisement





