Back to home
Wazee Bungoma wadai ahadi ya rais ya kulipwa kila mwezi haijatimizwa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 1, 2026
1h ago
Imebainika kuwa baadhi ya wazee wa mitaa kutoka kaunti ya Bungoma hawajapokea malipo yao ya kila mwezi, licha ya serikali kutangaza kuwa mpango huo unalenga kuwafidia wazee wanaohudumu katika jamii. Baadhi ya wazee hao kutoka Kata ya Sirende, Webuye Magharibi, wanasema majina yao
Advertisement
Advertisement


