Back to home
Nyoro akashifu vitisho vya wapiga kura
video
C
Citizen TV (Youtube)September 2, 2026
2h ago
Kinara wa Chama cha Peoples Party Ndindi Nyoro amekashifu matamshi ya baadhi ya viongozi kuwatishia wapiga kura kuhama iwapo hawataipigia kura serikali ya Rais William Ruto mwaka ujao. Nyoro amesema kwamba wakenya wote wana haki ya kikatiba kujihusisha na mrengo wowote wa kisiasa
Advertisement
Advertisement





