Back to home

Nyoro akashifu vitisho vya wapiga kura

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 2, 2026
2h ago
Kinara wa Chama cha Peoples Party Ndindi Nyoro amekashifu matamshi ya baadhi ya viongozi kuwatishia wapiga kura kuhama iwapo hawataipigia kura serikali ya Rais William Ruto mwaka ujao. Nyoro amesema kwamba wakenya wote wana haki ya kikatiba kujihusisha na mrengo wowote wa kisiasa
Advertisement