Back to home

Kenya Kwanza yaendeleza kampeni ya Ruto Trans Nzoia

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 3, 2026
1h ago
Wanasiasa wa Kenya Kwanza wameendeleza kampeni yao kaunti ya Trans Nzoia, wakimpigia debe Rais William Ruto kuchaguliwa kwa muhula wa pili kwenye uchaguzi mkuu ujao. Wanasiasa hao waliokuwa eneo bunge la Cherangany, wamewataka wenzao kwenye upinzani kuepuka matusi na mashambulizi
Advertisement