Back to home
Rais William Ruto atangaza kufungwa kwa kampuni ya Tata Chemicals Magadi Limited
video
N
NTV Kenya (Youtube)September 3, 2026
1h ago
Mzozo baina ya serikali na kampuni ya Tata Chemicals Magadi Limited, yenye shughuli zake huko Magadi, kaunti ya Kajiado, sasa umechukua mkondo mpya baada ya rais William Ruto kutangaza kuwa Tata wamefurushwa na panatafutwa kampuni nyingine ya kuendelea na shughuli
Subscribe and
Advertisement
Advertisement





