Back to home
Sekta ya afya magerezani yaimarika huku 90% ya wafungwa na maafisa wakisajiliwa SHA
video
C
Citizen TV (Youtube)September 4, 2026
1h ago
Kamishna wa Magereza Beacco amesema asilimia 90 ya maafisa wa magereza na wafungwa wamesajiliwa katika Mfuko wa Afya ya Jamii (SHA), hatua inayolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za matibabu magerezani. Kwa upande mwingine, Katibu wa Idara ya Magereza ameongoza zoezi la upanzi
Advertisement
Advertisement

![| Shajara na Lulu |Simulizi ya Jane Gitau ambaye amevimba miguu kama ugonjwa wa Matende [Part 2]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/-Shajara-na-Lulu-S_1788511976-16x9.jpg)


![| Shajara na Lulu | Simulizi ya Jane Gitau ambaye amevimba miguu kama ugonjwa wa Matende [Part 1]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/-Shajara-na-Lulu-_1788511976-16x9.jpg)
