Back to home
Maandalizi ya El Niño yaanza Garissa, ujenzi wa daraja la Bula Iftin wazinduliwa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 4, 2026
1h ago
Gavana wa Garissa Nathif Jama amezindua ujenzi wa daraja la Bula Iftin huku kaunti hiyo ikiimarisha maandalizi ya kukabiliana na athari za El Niño. Wakazi walioejenga katika mikondo ya maji wameonywa kuhama mapema ili kuepusha maafa yanayoweza kusababishwa na mafuriko.
Advertisement
Advertisement





