Back to home
Huduma za matibabu Kericho zaimarika baada ya serikali kuajiri wauguzi kwa kandarasi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 4, 2026
1h ago
Hali ya kawaida inaanza kurejea katika huduma za matibabu katika hospitali za Kericho baada ya Serikali ya Kaunti kuajiri wauguzi kwa kandarasi. Hatua hiyo inalenga kupunguza changamoto ya uhaba wa wahudumu wa afya na kuhakikisha wagonjwa wanapata huduma kwa wakati.
Advertisement
Advertisement





