Back to home
Raia wawili wa Italia waachiliwa kwa dhamana ya KSh 4 milioni kila mmoja Malindi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 7, 2026
1h ago
Raia wawili wa Italia wanaokabiliwa na kesi ya ulaghai mjini Malindi wameachiliwa kwa dhamana ya KSh 4 milioni kila mmoja. Wawili hao wanadaiwa kuwalaghai wanunuzi wa nyumba kiasi cha KSh 20 milioni.
Advertisement
Advertisement





