Back to home

Nyumba ya “Maria” yabomolewa Kisii

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 8, 2026
1h ago
Wenyeji wa kijiji cha Emenwa eneo la Nyamache kaunti ya Kisii wameelezea masikitiko yao kufuatia kubomolewa kwa nyumba ambayo iliaminika kuwa sura ya mamake Yesu; Maria. Eneo hilo leo likishuhudia utulivu, licha ya mamia kumiminika kwenye kijiji hicho kujionea kile walisema ni ma
Advertisement