Back to home

Busia: Mkongwe mwenye umri wa miaka 90 afanya biashara ya kutengeneza miengo, ukipenda fly whisks

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 8, 2026
1h ago
Mkongwe mwenye umri wa miaka 90 katika soko la Posta mjini Busia anazidi kuwashangaza wengi kwa kukaidi hali ya umri wake na kuendelea kufanya biashara ya kutengeneza miengo, ukipenda fly whisks, kwa kipindi cha miaka 74 sasa. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan new
Advertisement