Back to home

Likoni: Kundi moja la Warundi waripotiwa kutafuta hifadhi katika kanisa

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 8, 2026
1h ago
Kundi moja la Warundi limeripotiwa kutafuta hifadhi katika kanisa moja huko Likoni, Mombasa, baada ya wenyeji kudaiwa kuwatishia kuwafurusha kufuatia agizo la Rais William Ruto linalolenga kuwafurusha wachuuzi na wafanyabiashara wanaohudumu bila nyaraka. Subscribe to NTV Kenya c
Advertisement