Back to home

Idadi ya raia wa Burundi wanaofurika katika ubalozi wao jijini Nairobi yaendelea kuongezeka

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 8, 2026
1h ago
Idadi ya raia wa Burundi wanaofurika katika ubalozi wao jijini Nairobi iliendelea kuongezeka. Baadhi yao wakikesha ubalozini, wengine wakiwa na watoto wadogo, wakisubiri hati za usafiri za kuwawezesha kurejea nchini kwao, hata baada ya serikali ya Kenya kuthibitisha kuwa si kufuk
Advertisement