Back to home

Shamakhoho: mwili wa mwanaume wapatikana kando ya barabara katika mazingira yanayotatanisha

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 8, 2026
1h ago
Hofu imetanda katika kijiji cha Chebunaywa, kata ndogo ya Senende, Shamakhoho, baada ya mwili wa mwanaume mwenye umri wa miaka 53, Nelson, kupatikana kando ya barabara katika mazingira yanayozua hofu kuwa huenda aliuawa. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news
Advertisement