Back to home
Ruto afungua kongamano la AmCham Nairobi, uwekezaji na sera za biashara zajadiliwa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2026
2h ago
Rais William Ruto amefungua rasmi Kongamano la Biashara la AmCham jijini Nairobi. Mkutano huo wa kikanda unawaleta pamoja wadau kujadili uwekezaji, biashara na sera, huku masuala muhimu ya uchumi yakitarajiwa kuangaziwa.
Advertisement
Advertisement



