Back to home

Agizo la Ruto kwa wakimbizi laibua hofu kuhusu usalama wao

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 9, 2026
1h ago
Kenya imekuwa mwenyeji wa wakimbizi kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika kwa miaka mingi. Hata hivyo, agizo la Rais Ruto kuhusu wakimbizi limeibua hofu na maswali kuhusu mustakabali wa ulinzi wa wakimbizi nchini.
Advertisement