Back to home
Mgomo wa wauguzi waingia siku ya 42 huku wagonjwa wakikosa huduma
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2026
1h ago
Mgomo wa wauguzi umeingia siku ya 42 huku serikali ikihimizwa kuingilia kati kutatua mvutano huo. Atwoli ameitaka serikali kuhakikisha huduma za afya zinarejeshwa katika hospitali za umma.
Advertisement
Advertisement





