Back to home
Mahakama yawataka DCI kujiwasilisha binafsi kuhusu ghasia Vihiga
video
C
Citizen TV (Youtube)September 10, 2026
1h ago
Mahakama imewataka maafisa wa DCI kujiwasilisha binafsi mahakamani katika kesi inayowahusu washukiwa wawili wanaotuhumiwa kuhusika na uhuni wakati wa ghasia za Vihiga.
Advertisement
Advertisement





