Back to home
Wanjigi aungana na wanajeshi wa 1982 kudai fidia ya Sh9 bilioni
video
C
Citizen TV (Youtube)September 10, 2026
1h ago
Zaidi ya wanajeshi 400 wa zamani wa Jeshi la Anga la Kenya waliohudumu wakati wa jaribio la mapinduzi ya mwaka 1982, wameungana na Kiongozi wa Chama cha Safina Jimmy Wanjigi kudai kulipwa fidia ya zaidi ya shilingi bilioni tisa.
Wanajeshi hao pia wanataka hatua za kisheria kuchu
Advertisement
Advertisement



