Back to home
Wanafunzi wa Nambacha waunga mkono matokeo ya urais kutangazwa vituoni vya kupiga kura
video
N
NTV Kenya (Youtube)September 11, 2026
3h ago
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Nambacha, eneo bunge la Navakholo, Kaunti ya Kakamega, wameunga mkono pendekezo la Seneta wa Busia Okiya Omtatah la matokeo ya urais kujumuishwa na kutangazwa kwenye vituo vya kupigia kura.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news
Advertisement
Advertisement




