Back to home
Uhaba wa maziwa waweza kuendelea kwa zaidi ya mwezi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 11, 2026
1h ago
Uhaba wa maziwa unaoshuhudiwa nchini huenda ukaendelea kwa zaidi ya mwezi mmoja, huku baadhi ya maduka yakisalia bila bidhaa hiyo muhimu.
Kulingana na Bodi ya Maziwa, kiwango cha maziwa kinachowasilishwa kwa kampuni za maziwa kimepungua kwa takriban lita milioni tisa katika kipi
Advertisement
Advertisement





