Back to home
Kindiki amkosoa Ruku kwa madai ya kugawanya Mlima Kenya
video
C
Citizen TV (Youtube)September 12, 2026
1h ago
Naibu Rais Profesa Kithure Kindiki amemtaka Waziri wa Utumishi wa Umma Geoffrey Ruku kukomesha kile anachokitaja kuwa ni juhudi za kuigawanya kisiasa eneo la Mlima Kenya kuwa Mlima Kenya Mashariki na Mlima Kenya Magharibi.
Advertisement
Advertisement





