Back to home
Ndugu wawili wafariki baada ya boti kuzama Mombasa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 13, 2026
2h ago
Ndugu wawili wamefariki baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzidiwa na mawimbi makali ya bahari na kuzama katika Bahari Hindi, Kaunti ya Mombasa.
Wawili hao, kaka na dada, walikuwa miongoni mwa familia ya watu watano waliotembelea Mombasa kutoka Magharibi mwa Kenya kwa ajili y
Advertisement
Advertisement




