Back to home

Watu 5 wafariki katika ajali ya basi na gari Kikopey

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 14, 2026
1d ago
Watu watano wamefariki kwenye ajali ya barabarani iliyotokea eneo la Kikopey,Gilgil Kaunti ya Nakuru usiku wa kuamkia Jumatatu.Miongoni mwa waliofariki ni ndugu wawili na watoto wawili ambao walikuwa wanatoka Seme kaunti ya Kisumu kwa mazishi ya mama yao

More on this topic

Five Family Members Killed in Kikopey Bus-Car Collision on Nakuru-Nairobi Highway - September 2026

Five family members tragically lost their lives in a road accident involving a bus and a saloon car at Kikopey, Gilgil, Nakuru County. The incident occurred on the night leading up to Monday on the notorious Nakuru-Nairobi highway. This accident adds to the growing concerns about road safety along this highway corridor. The collision represents one of the more deadly recent incidents on this stretch of road, which has seen multiple fatal accidents in recent months.

4 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement