Back to home

Wakazi Busia wahimizwa kuhifadhi maji ya mvua

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 15, 2026
1h ago
Wakazi pamoja na wakuu wa taasisi za elimu katika eneo la Akobwait lililoko katika eneo bunge la Teso Kusini kaunti ya Busia wamehimizwa kuwekeza katika miundomsingi ya kuhifadhi maji ya mvua ili kukabiliana na changamoto iliyokithiri ya uhaba wa maji.
Advertisement