Back to home

Jeremiah Mwaura auguza majeraha aliyopata katikati maandamano ya kupinga kupanda kwa bei ya mafuta

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 15, 2026
1h ago
Kwa Jeremiah Mwaura mwenye umri wa miaka 46, safari ya kawaida ya kwenda jijini Nakuru kununua vifaa vyake vya kazi ya useremala iligeuka kuwa masaibu yaliyobadilisha maisha yake. Mwaura alijipata katikati ya vurugu wakati wa maandamano ya Juni 18, mwaka 2026 ya kupinga kupanda
Advertisement