Back to home
Chama cha Wamiliki wa Malori Chazindua Tuzo za Madereva
video
C
Citizen TV (Youtube)September 16, 2026
1h ago
Chama cha Wamiliki wa Malori nchini, TAK, kimezindua tuzo za kutambua madereva na wadau wanaofanya vyema katika sekta ya usafirishaji mizogo, kwa lengo la kuchochea ushindani wa kimaendeleo na kuimarisha usalama barabarani.
Advertisement
Advertisement





