Back to home
Wanawake 32 Wajawazito Wafariki Bungoma Mwaka Huu
video
C
Citizen TV (Youtube)September 16, 2026
1h ago
Kina mama wajawazito 32 wamepoteza maisha katika Kaunti ya Bungoma mwaka huu wakati wa kujifungua, huku mgomo wa wauguzi uliokamilika hivi majuzi ukitajwa miongoni mwa sababu zilizochangia vifo hivyo.
Advertisement
Advertisement





