Back to home
Maonyesho ya Sanaa ya Kenya-China 2026 Yaandaliwa Kibra
video
C
Citizen TV (Youtube)September 16, 2026
2h ago
Maonyesho ya Sanaa ya Kenya-China 2026 yamefanyika katika mtaa wa Kibra jijini Nairobi. Serikali imehimiza kuimarishwa kwa utamaduni na ubunifu, huku Cheptumo akisema mikakati imewekwa kuwawezesha vijana.
Advertisement
Advertisement





