Back to home
Wakazi wa Budalangi Waingiwa na Hofu ya Mafuriko ya Mto Nzoia
video
C
Citizen TV (Youtube)September 16, 2026
1h ago
Licha ya serikali kujizatiti kuweka mikakati kabambe ya kukabiliana na athari za mvua ya El nino, baadhi ya wakazi wanaoishi Budalangi eneo la Bunyala Kusini wameelezea hisia mseto kuhusu maandalizi hayo, wakisisitiza kuwa mito na maziwa yako katika hatari kubwa ya kuathirika n
Advertisement
Advertisement





