Back to home

Upinzani waipongeza mahakama kwa kubatilisha uuzaji wa hisa za Safaricom

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 16, 2026
2h ago
Muungano wa upinzani, ukiongozwa na kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka, umepongeza uamuzi wa Mahakama Kuu wa kubatilisha uuzaji wa hisa zinazomilikiwa na serikali katika kampuni ya Safaricom. Upinzani sasa unaitaka serikali kuheshimu uamuzi wa mahakama na kurejesha fedha ilizopokea
Advertisement