Back to home

Safaricom: Uuzaji wa asilimia 15 ya hisa za serikali ulikamilishwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 16, 2026
2h ago
Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom imesema uuzaji wa asilimia 15 ya hisa zinazomilikiwa na serikali ulikamilishwa tarehe 30 Juni mwaka huu. Kauli hiyo inajiri huku Waziri wa Hazina ya Kitaifa John Mbadi akisisitiza kuwa uuzaji wa hisa hizo ulifanywa kwa mujibu wa sheria na kwa
Advertisement