Back to home

Obado na washukiwa wenzake kujua hatma yao Novemba

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 16, 2026
2h ago
Aliyekuwa Gavana wa Migori Okoth Obado na washukiwa wenzake wawili watajua hatma yao Novemba mwaka huu, mahakama itakapotoa hukumu katika kesi ya mauaji ya Sharon Otieno. Familia ya marehemu Sharon Otieno imeiomba mahakama imsikumu Obado kifungo cha nje ya gereza, ikisema ameony
Advertisement