Back to home
Sifuna azuiwa na uongozi wa chuo cha JKUAT Karen kuhudhuria mkutano katika chuo hicho
video
N
NTV Kenya (Youtube)September 17, 2026
2h ago
Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna ameeleza wasiwasi wake kuhusu kudidimia kwa uhuru wa kujihusisha na dhana ama mtu fulani katika mrengo wowote wa kisiasa baada ya kuzuiwa na uongozi wa chuo cha JKUAT Karen kuhudhuria mkutano katika chuo hicho.
Subscribe and watch NTV Kenya live fo


The Online Kenyan Android App
Take Kenya's news with you
Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.
Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play









