Back to home

Watu wanne wafariki katika mlipuko wa lori la mafuta Turbo

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 18, 2026
1h ago
Watu wanne wamefariki baada ya lori la kusafirisha mafuta ya petroli kulipuka katika eneo la Turbo, kaunti ya Uasin Gishu. Wawili kati ya waliofariki walipoteza maisha papo hapo walipokuwa wakiteka mafuta kutoka kwa lori hilo lililoanguka jana usiku. Watu wengine 23 walijeruhiw
The Online Kenyan Android App

Take Kenya's news with you

Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.

Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play