Back to home
Ligi Kuu ya FKF 2026/27 yaahirishwa tena
video
C
Citizen TV (Youtube)September 19, 2026
1h ago
Kuanza kwa Ligi Kuu ya FKF msimu wa 2026/27 kumeahirishwa tena, baada ya Shirikisho la Soka nchini, FKF, kusitisha mechi za ufunguzi zilizopangwa kuchezwa Jumamosi ya leo.
Hatua hiyo imechukuliwa kufuatia mvutano wa kisheria kuhusu sheria za kupanda na kushuka daraja.


The Online Kenyan Android App
Take Kenya's news with you
Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.
Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play









