Back to home

Umeme wafika vijijini, kubadili maisha ya wananchi

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 19, 2026
1h ago
Kwa miaka mingi, umeme ulikuwa zaidi kwa watu waliojiweza nchini, ila sasa nguvu za umeme zimeingia vijijini katika sehemu nyingi nchini. Kutoka kwa muuza duka eneo la Bargeywe, Kaunti ya Kericho, ambaye sasa haogopi giza la usiku, hadi kwa mwanafunzi wa Kaunti ya Busia anayefan
The Online Kenyan Android App

Take Kenya's news with you

Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.

Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play