Back to home
Waziri wa maji Eric Mugaa awataka wakuu wa mashirika ya maji kushirikiana na serikali za kaunti
video
C
Citizen TV (Youtube)May 16, 2025
7mo ago
Waziri wa maji Eric Mugaa amewataka wakuu wa mashirika ya maji nchini kushirikiana na serikali za ugatuzi wakati wanabuni mikakati ya mipango yao ili kuwa na lengo moja la maendeleo kuhusu huduma ya maji kwenye kaunti husika.
Advertisement
Advertisement





