Back to home

Vijana na walemavu wahamasishwa kuhusu dhuluma mitandaoni Busia

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 21, 2025
6mo ago
Licha ya teknolojia na mtandao wa kijamii kusaidia vijana kupata hela za kukimu mahitaji yao, imebainika kuwa wengi wanaathirika pakubwa kutokana na visa vya uhalifu na uonevu mtandaoni
Advertisement