Back to home

Dhuluma za mitandaoni dhidi ya wanawake zimeongezeka katika kaunti ya Kwale

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 5, 2025
2h ago
Dhuluma za mitandaoni dhidi ya wanawake zimeongezeka katika kaunti ya Kwale . waathiriwa wengi wakiwa wanawake wanaofanya kazi mataifa ya nje kwa kulaghaiwa pesa na marafiki zao wa kiume kwa tishio la kuweka picha zao za siri mitandaoni.