Back to home

Wakaazi waanza maisha upya kwenye nyumba za nafuu

video
May 28, 2025
11 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kuzinduliwa kwa nyumba za serikali za boma yangu katika mtaa wa mukuru hapa Nairobi kumeibua matumaini mapya kwa mamia ya wakaazi walionufaika na nyumba hizo. Kwa baadhi ya wakaazi hawa, sura mpya ya nyumba hizi imetoa taswira tofauti kabisa ya makao yao ya zamani...